|
|
Hapa
vijana wakijadili jambo kuhusu tamthiliya ya My Campus itakayokuwa ikiruka
kupitia Mlimani TV
|
Muongozaji wa vipindi vya Televisheni na Filamu
nchini Tanzania,Bw. Issa Athumani akitoa maelekezo kwa mpiga picha, Bw Emmanuel Kiwelu
|
Kazi ikiwa motomoto hapo inatafutwa angle sahihi
yenye uzuri mathubuti
|
Vijana wa My Campus wakijipumzisha kidogo
|
Assistant Production Manager Catherine Allan, akiwa mwigizaji Sabina
Shementse na dada yetu machachari Joyce Lyimo wakijipumzisha kidogo ili
kuendelea na kazi
|
Hapa kazi ikiendelea DOP, Ochieng Gad Ogweno, Camera
operator Emmanuel Kiwelu na Director machachari anaechipukia Frank Mavura
|
Still
picture muhimu...ila daaah hii kamera ni hatari hadi vinyweleo vya mkono wa
DOP Ochieng Gad Ogweno
|
Hata mchana taa ni muhimu sana wakati wa ufanyaji wa
kazi za televisheni na filamu kwani hutupatia picha nzuri.
|
Muigizaji
chipukizi na machachari Josephine Christopher akifanyiwa make up ili kuanza
scene yake
|
KAZI NA DAWA..someni magaeti lakini sometimes udaku wa kibongo noma haufai... |
Wadau wakifuatilia mchakato mzima wa utayalishaji wa
tamthiliya ya My Campus itakayokujia hivi karibuni kupitia Mlimani TV
|
Tabasamu baada ya kushoot ni muhimu sio kazi
rahisi kuwa on set
|
Mwakoba Kizaro atakyeenda kwa jina la Steven akiwa katika scene yake |
Kazi ikiendelea kwa umoja na ushirikiano mkubwa
|
No comments:
Post a Comment