MY CAMPUS
Sunday, December 16, 2012
Get your Personal 2013 Calendar at cheapest price
05 ni kalenda za mwaka 2013 yenye picha ya Mary the Super Model, ukileta picha yako nawe pia utaonekana katika kalenda hiyo..Zinapatikana kwa gharama nafuu ya sh 4000 tu.. tuwasiliane kwa namba 0715771212 au 0715431721
Tuesday, December 4, 2012
Upigaji picha wa Episode 1,ni Dira Ya Ubora wa Filamu za Nyumbani#My Campus
Timu
nzima ya ikiwa katika eneo la kazi Mikocheni ndani ya campus ya SJMC tayari kwa
kupiga picha za episode no 1
|
Joyce
na Emiliana wakifuatilia mchakato mzima wa upigaji picha za My Campus
|
Mpiga
picha wa ukweli kutoka Mlimani TV Imma Kiwelu akiweka mambo sawa ili kazi iwe
poa poa
|
Location bwana sometimes unasubiri majukumu yako yafike, unapata muda wa kupumzika na kuchati na washkaji. |
Neema,
Silas, Mwakoba na Emiliana wakiwa katika scene yenye mvuto wa pekee kama
wafanyakazi wa kazi za usafi katika Campus ya SJMC, uhondo wa Soap Opera hii
utapatikana Mlimani TV.
|
Ha
ha ha ha ha mda mwingine ubunifu ni muhimu ili kupata uhalisia wa picha husika.
|
Hapa
tutapata shot nzuri kamera itaweza kuchukua matukio kwa uzuri!
|
Hamadi
aka Samson, Deus kama PM msaidizi, Catherine Allan PM msaidizi pia na Hawa as
assistant Director wakifuatilia kwa makini upigaji wa picha za episode 1
|
Kazi
inaendelea na majadiliano yamepamba moto miongoni mwa wahusika.
|
I
real like this shot! Inajenga hali
Fulani katika nafsi….
|
Kazi inaendelea |
Director msaidizi Miss Hawa akifuatilia mchakato mzima kwa umakini. |
Mr
Director Issa Athumani akikagua Kamera kuhakikisha kila kitu kinaenda sawia.
|
Kujadili
maendeleo ya kazi ni mojawapo ya sehemu ya kazi ili kupata mawazo mbalimbali
|
Ochieng Gad Ogweno mpiga picha wa Mlimani ni TV akiendelea kuchukua picha |
Taa
hutumika hata mchana kuua vivuli visivyotakiwa katika upigaji wa picha nzuri
zenye mvuto kwa mtazamaji.
|
Kazi
na dawa Mr director Issa Athumani twatarajia vitu vizuri.
|
Atukuzwe na Glory mojawapo ya wahusika wakuu katika mojawapo ya scene zitakazoonekana katika episode ya kwanza |
Moreen
Swai aka Zawadi mhusika mkuu wa My
Campus , Edger Mahirane Production Manager na Shumu Mwaita wakitokelezea baada
ya kazi nzito.
|
Upigaji
picha ukiendelea ili kuhakikisha episode ya kwanza inakamilika
|
Hii
ni mojawapo ya shot nzuri sana itakayonekana ndani ya My Campus,
keep in Touch!
|
Brothermen Abdul Ibrahim aka Abdullah akifanya vitu vyake.. |
Kazi ikiendelea kufanywa kwa ufanisi mkubwa na ushirikiano wa dhati
baina ya Production Timu na wahusika.
|
My Campus! My Campus! Twakusubiri kwa hamu |
Glory
Swai akiwa makini na scene yake the girl is doing great.. Mambo mazuri zaidi yanatarajiwa kupitia Tamthiliya ya My Campus
|
Sunday, November 25, 2012
Kazi ya uandaaji wa My Campus yanza rasmi # Kaa tayari
|
|
Hapa
vijana wakijadili jambo kuhusu tamthiliya ya My Campus itakayokuwa ikiruka
kupitia Mlimani TV
|
Muongozaji wa vipindi vya Televisheni na Filamu
nchini Tanzania,Bw. Issa Athumani akitoa maelekezo kwa mpiga picha, Bw Emmanuel Kiwelu
|
Kazi ikiwa motomoto hapo inatafutwa angle sahihi
yenye uzuri mathubuti
|
Vijana wa My Campus wakijipumzisha kidogo
|
Assistant Production Manager Catherine Allan, akiwa mwigizaji Sabina
Shementse na dada yetu machachari Joyce Lyimo wakijipumzisha kidogo ili
kuendelea na kazi
|
Hapa kazi ikiendelea DOP, Ochieng Gad Ogweno, Camera
operator Emmanuel Kiwelu na Director machachari anaechipukia Frank Mavura
|
Still
picture muhimu...ila daaah hii kamera ni hatari hadi vinyweleo vya mkono wa
DOP Ochieng Gad Ogweno
|
Hata mchana taa ni muhimu sana wakati wa ufanyaji wa
kazi za televisheni na filamu kwani hutupatia picha nzuri.
|
Muigizaji
chipukizi na machachari Josephine Christopher akifanyiwa make up ili kuanza
scene yake
|
KAZI NA DAWA..someni magaeti lakini sometimes udaku wa kibongo noma haufai... |
Wadau wakifuatilia mchakato mzima wa utayalishaji wa
tamthiliya ya My Campus itakayokujia hivi karibuni kupitia Mlimani TV
|
Tabasamu baada ya kushoot ni muhimu sio kazi
rahisi kuwa on set
|
Mwakoba Kizaro atakyeenda kwa jina la Steven akiwa katika scene yake |
Kazi ikiendelea kwa umoja na ushirikiano mkubwa
|
Subscribe to:
Posts (Atom)