Mpiga picha wa Mlimani tv Baba lao Max akiendelea kufanya kipindi cha afya kwa umakini mkubwa |
Mahojiano yakiendelea juu ya ugonjwa wa kisukari kati ya mtangazaji Elizabeth Mramba na Dr Ally Mzige |
Dr Ally Mzige, mkurugenzi hospitali ya
IMTU- Mbezi Dar es salaam akizungumza katika kipindi cha afya kinachoruka
mlimani Tv.
|
Elizabeth Mramba akiwa makini kufanya mahojiano pembeni ni mpiga picha wa mlimani Tv Mzee Max |
Picha na Ndaga Mwaipopo
No comments:
Post a Comment